Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mk 1:40-42

Mk 1:40-42 SUV

Akaja kwake mtu mwenye ukoma, akamsihi na kumpigia magoti, na kumwambia, Ukitaka, waweza kunitakasa. Naye akamhurumia, akanyosha mkono wake, akamgusa, akamwambia, Nataka, takasika. Na mara ukoma wake ukamtoka, akatakasika.

Soma Mk 1

Video zinazohusiana