Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mt 25:1-3

Mt 25:1-3 SUV

Ndipo ufalme wa mbinguni utakapofanana na wanawali kumi, waliotwaa taa zao, wakatoka kwenda kumlaki bwana arusi. Watano wao walikuwa wapumbavu, na watano wenye busara. Wale waliokuwa wapumbavu walizitwaa taa zao, wasitwae na mafuta pamoja nao

Soma Mt 25