Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mt 19:23-24

Mt 19:23-24 SUV

Yesu akawaambia wanafunzi wake, Amin, nawaambieni, ya kwamba itakuwa shida tajiri kuingia katika ufalme wa mbinguni. Nawaambia tena, Ni rahisi zaidi ngamia kupenya tundu ya sindano, kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.

Soma Mt 19