Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mt 17:1-2

Mt 17:1-2 SUV

Na baada ya siku sita Yesu akawatwaa Petro, na Yakobo, na Yohana nduguye, akawaleta juu ya mlima mrefu faraghani; akageuka sura yake mbele yao; uso wake ukang’aa kama jua, mavazi yake yakawa meupe kama nuru.