Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Lk 6:32-33

Lk 6:32-33 SUV

Maana mkiwapenda wale wawapendao ninyi, mwaonyesha fadhili gani? Kwa kuwa hata wenye dhambi huwapenda wale wawapendao. Nanyi mkiwatendea mema wale wawatendeao mema, mwaonyesha fadhili gani? Hata wenye dhambi hufanya vivyo hivyo.

Soma Lk 6

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Lk 6:32-33