Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Lk 15:20-21

Lk 15:20-21 SUV

Akaondoka, akaenda kwa babaye. Alipokuwa angali mbali, baba yake alimwona, akamwonea huruma, akaenda mbio akamwangukia shingoni, akambusu sana. Yule mwana akamwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako; sistahili kuitwa mwana wako tena.

Soma Lk 15