Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Lk 11:42

Lk 11:42 SUV

Lakini, ole wenu, Mafarisayo, kwa kuwa mwatoa zaka za mnanaa na mchicha na kila mboga, na huku mwaacha mambo ya adili, na upendo wa Mungu; iliwapasa kuyafanya hayo ya kwanza, bila kuyaacha hayo ya pili.

Soma Lk 11