Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Lk 1:26-27

Lk 1:26-27 SUV

Mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti, kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu, jina lake Yusufu, wa mbari ya Daudi; na jina lake bikira huyo ni Mariamu.

Soma Lk 1