Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yn 8:34-36

Yn 8:34-36 SUV

Yesu akawajibu, Amin, amin, nawaambia, Kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi. Wala mtumwa hakai nyumbani sikuzote; mwana hukaa sikuzote. Basi Mwana akiwaweka huru, mtakuwa huru kweli kweli.

Soma Yn 8