Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yer 35:12-13

Yer 35:12-13 SUV

Ndipo neno la BWANA likamjia Yeremia, kusema, BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Enenda ukawaambie wana wa Yuda, na wenyeji wa Yerusalemu, Je! Hamtaki kupokea mafundisho, myasikilize maneno yangu? Asema BWANA.

Soma Yer 35