Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ebr 10:16-18

Ebr 10:16-18 SUV

Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana, Nitatia sheria zangu mioyoni mwao, Na katika nia zao nitaziandika; ndipo anenapo, Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa. Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo tena kwa ajili ya dhambi.

Soma Ebr 10