Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hab 3:17-19

Hab 3:17-19 SUV

Maana mtini hautachanua maua, Wala mizabibuni hamtakuwa na matunda; Taabu ya mzeituni itakuwa bure, Na mashamba hayatatoa chakula; Zizini hamtakuwa na kundi, Wala vibandani hamtakuwa na kundi la ng’ombe; Walakini nitamfurahia BWANA Nitamshangilia Mungu wa wokovu wangu. YEHOVA, aliye BWANA, ni nguvu zangu, Yeye huifanya miguu yangu kuwa kama ya kulungu, Naye ataniendesha katika mahali pangu palipoinuka.

Soma Hab 3

Picha za Aya za Hab 3:17-19

Hab 3:17-19 - Maana mtini hautachanua maua,
Wala mizabibuni hamtakuwa na matunda;
Taabu ya mzeituni itakuwa bure,
Na mashamba hayatatoa chakula;
Zizini hamtakuwa na kundi,
Wala vibandani hamtakuwa na kundi la ng’ombe;
Walakini nitamfurahia BWANA
Nitamshangilia Mungu wa wokovu wangu.
YEHOVA, aliye BWANA, ni nguvu zangu,
Yeye huifanya miguu yangu kuwa kama ya kulungu,
Naye ataniendesha katika mahali pangu palipoinuka.Hab 3:17-19 - Maana mtini hautachanua maua,
Wala mizabibuni hamtakuwa na matunda;
Taabu ya mzeituni itakuwa bure,
Na mashamba hayatatoa chakula;
Zizini hamtakuwa na kundi,
Wala vibandani hamtakuwa na kundi la ng’ombe;
Walakini nitamfurahia BWANA
Nitamshangilia Mungu wa wokovu wangu.
YEHOVA, aliye BWANA, ni nguvu zangu,
Yeye huifanya miguu yangu kuwa kama ya kulungu,
Naye ataniendesha katika mahali pangu palipoinuka.