Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwa 18:13-14

Mwa 18:13-14 SUV

BWANA akamwambia Ibrahimu, Mbona Sara amecheka akisema, Mimi kweli nitazaa mwana, nami ni mzee? Kuna neno gani lililo gumu la kumshinda BWANA? Kwa muhula wake nitakurudia, wakati huu huu mwakani, na Sara atapata mwana wa kiume.

Soma Mwa 18