Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Tim 1:3-4

2 Tim 1:3-4 SUV

Namshukuru Mungu, nimwabuduye kwa dhamiri safi tangu zamani za wazee wangu, kama vile nikukumbukavyo wewe daima, katika kuomba kwangu usiku na mchana. Nami natamani sana kukuona, nikiyakumbuka machozi yako, ili nijae furaha

Soma 2 Tim 1