Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Sam 12:16-17

2 Sam 12:16-17 SUV

Basi Daudi akamwomba Mungu kwa ajili ya mtoto; Daudi akafunga, akaingia, akalala usiku kucha chini. Nao wazee wa nyumba yake wakaondoka, wakasimama karibu naye, ili wamwinue katika nchi; lakini hakukubali, wala hakula chakula pamoja nao.

Soma 2 Sam 12