Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Kor 2:10-11

2 Kor 2:10-11 SUV

Lakini kama mkimsamehe mtu neno lo lote, nami nimemsamehe; kwa maana mimi nami, ikiwa nimemsamehe mtu neno lo lote, nimemsamehe kwa ajili yenu mbele za Kristo, Shetani asije akapata kutushinda; kwa maana hatukosi kuzijua fikira zake.

Soma 2 Kor 2