Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Sam 30:24

1 Sam 30:24 SUV

Tena ni nani atakayewasikiliza ninyi katika jambo hili? Kwa kuwa kama lilivyo fungu lake yeye ashukaye vitani, ndivyo litakavyokuwa na fungu lake huyo akaaye karibu na vyombo; watagawiwa sawasawa.

Soma 1 Sam 30