Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Sam 18:5

1 Sam 18:5 SUV

Basi Daudi akatoka kwenda kila mahali alikotumwa na Sauli, akatenda kwa akili; Sauli akamweka juu ya watu wa vita; jambo hili likawa jema machoni pa watu wote, na machoni pa watumishi wa Sauli pia.

Soma 1 Sam 18