Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Sam 16:18

1 Sam 16:18 SUV

Ndipo akajibu mmoja wa watumishi wake akasema, Tazama, nimemwona mwana mmoja wa Yese, Mbethlehemi, aliye stadi wa kupiga kinubi, tena ni mtu shujaa, hodari wa vita, anenaye kwa busara, mtu mzuri, ambaye BWANA yu pamoja naye.

Soma 1 Sam 16