Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Sam 14:36

1 Sam 14:36 SUV

Kisha Sauli akasema, Haya! Na tushuke kuwafuata Wafilisti wakati wa usiku, na kuwateka nyara hata mapambazuko, wala tusiwaache hata mmoja wao. Nao wakamjibu, Fanya yo yote uyaonayo kuwa ni mema. Ndipo yule kuhani akasema, Na tumkaribie Mungu hapa.

Soma 1 Sam 14