Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Fal 18:45-46

1 Fal 18:45-46 SUV

Ikawa, muda si muda, mbingu zikawa nyeusi kwa mawingu na upepo, ikanyesha mvua nyingi. Ahabu akapanda garini, akaenda zake Yezreeli. Mkono wa BWANA ulikuwa juu ya Eliya; akajikaza viuno, akapiga mbio mbele ya Ahabu mpaka kuiingia Yezreeli.

Soma 1 Fal 18