Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Kor 9:26-27

1 Kor 9:26-27 SUV

Hata mimi napiga mbio vivyo hivyo, si kama asitaye; napigana ngumi vivyo hivyo, si kama apigaye hewa; bali nautesa mwili wangu na kuutumikisha; isiwe, nikiisha kuwahubiri wengine, mwenyewe niwe mtu wa kukataliwa.

Soma 1 Kor 9