Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Kor 14:24-25

1 Kor 14:24-25 SUV

Lakini wote wakihutubu, kisha akaingia mtu asiyeamini, au mjinga, abainishwa na wote, ahukumiwa na wote; siri za moyo wake huwa wazi; na hivyo atamwabudu Mungu, akianguka kifudifudi, na kukiri ya kuwa Mungu yu kati yenu bila shaka.

Soma 1 Kor 14