Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Warumi 10:11-13

Warumi 10:11-13 NENO

Kama Maandiko yanavyosema, “Yeyote amwaminiye hataaibika kamwe.” Kwa maana hakuna tofauti kati ya Myahudi na mtu wa Mataifa, yeye ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao. Kwa maana, “Kila mtu atakayeliitia Jina la Bwana, ataokolewa.”

Video ya Warumi 10:11-13