Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 51:1-3

Zaburi 51:1-3 NENO

Ee Mungu, unihurumie, kwa kadiri ya upendo wako usiokoma, kwa kadiri ya huruma yako kuu, uyafute makosa yangu. Unioshe na uovu wangu wote na unitakase dhambi yangu. Kwa maana najua makosa yangu, na dhambi yangu iko mbele yangu daima.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 51:1-3