Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 23:2-3

Zaburi 23:2-3 NENO

Hunilaza katika malisho ya majani mabichi, kando ya maji matulivu huniongoza, hunihuisha nafsi yangu. Huniongoza katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.