Zaburi 148:13-14
Zaburi 148:13-14 NENO
Wote na walisifu jina la BWANA, kwa maana jina lake pekee limetukuka, utukufu wake uko juu ya nchi na mbingu. Amewainulia watu wake pembe, sifa ya watakatifu wake wote, ya Israeli, watu walio karibu na moyo wake.