Zaburi 134
134
Zaburi 134
Wito wa kumsifu Mungu
Wimbo wa kwenda juu.
1Msifuni Bwana, ninyi nyote watumishi wa Bwana,
ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Bwana.
2Inueni mikono yenu katika patakatifu
na kumsifu Bwana.
3Naye Bwana, Muumba wa mbingu na dunia,
awabariki kutoka Sayuni.
Iliyochaguliwa sasa
Zaburi 134: NENO
Kuonyesha
Shirikisha
Nakili

Je, ungependa vivutio vyako vihifadhiwe kwenye vifaa vyako vyote? Jisajili au ingia
Neno: Biblia Takatifu™ Neno™
Hakimiliki © 1984, 1989, 2009, 2015, 2025 na Biblica, Inc.
Imetumiwa kwa ruhusa. Haki zote zimehifadhiwa duniani kote.
Kiswahili Contemporary Version™
Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015, 2025 by Biblica, Inc.
Used with permission. All rights reserved worldwide.