Zaburi 121:1-2
Zaburi 121:1-2 NENO
Nayainua macho yangu natazama milima: msaada wangu utatoka wapi? Msaada wangu hutoka kwa BWANA, Muumba wa mbingu na dunia.
Nayainua macho yangu natazama milima: msaada wangu utatoka wapi? Msaada wangu hutoka kwa BWANA, Muumba wa mbingu na dunia.