Aha! Tazama, sheria yako naipenda mno ajabu. Ninaitafakari mchana kutwa. Amri zako zimenipa hekima zaidi kuliko adui zangu, kwa kuwa nimezishika daima. Nina akili zaidi kuliko walimu wangu wote, kwa kuwa ninatafakari juu ya sheria zako. Nina ufahamu zaidi kuliko wazee, kwa kuwa ninayatii mausia yako. Nimezuia miguu yangu isiende kwenye kila njia mbaya, ili niweze kutii neno lako. Sijaziacha sheria zako, kwa kuwa umenifundisha wewe mwenyewe. Tazama jinsi maneno yako yalivyo matamu kwangu, matamu kuliko asali katika kinywa changu! Ninapata ufahamu kutoka mausia yako, kwa hiyo ninachukia kila njia ya upotovu.
Soma Zaburi 119
Sikiliza Zaburi 119
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Zaburi 119:97-104
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video