Yaangalie mateso yangu, uniokoe, kwa kuwa sijasahau sheria yako. Nitetee katika hali hii yangu na unikomboe, uyahifadhi maisha yangu sawasawa na ahadi yako. Wokovu uko mbali na waovu, kwa kuwa hawatafuti maagizo yako. Ee BWANA, huruma zako ni kuu, uyahifadhi maisha yangu sawasawa na sheria zako. Adui wanaonitesa ni wengi, lakini mimi sitaziacha sheria zako. Ninawatazama wasioamini kwa chuki, kwa kuwa hawalitii neno lako. Tazama jinsi ninavyopenda mausia yako; Ee BWANA, uyahifadhi maisha yangu, sawasawa na upendo wako. Maneno yako yote ni kweli, sheria zako zote za haki ni za milele.
Soma Zaburi 119
Sikiliza Zaburi 119
Shirikisha
linganisha matoleo yote: Zaburi 119:153-160
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video