Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 26:1-2

Mithali 26:1-2 NENO

Kama theluji wakati wa kiangazi au mvua wakati wa mavuno, ndivyo asivyostahili heshima mpumbavu. Kama shomoro apigapigavyo mabawa yake au mbayuwayu katika kuruka kwake kasi, ndivyo ilivyo laana isiyo na sababu haimpati mtu.