Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 20:8-10

Mithali 20:8-10 NENO

Mfalme anapoketi kwenye kiti chake cha ufalme kuhukumu, hupepeta ubaya wote kwa macho yake. Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo wangu safi; mimi ni safi na sina dhambi?” Mawe ya kupimia yaliyo tofauti na vipimo tofauti, BWANA huchukia vyote viwili.