Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Wafilipi 2:8-11

Wafilipi 2:8-11 NENO

Naye akiwa na umbo la mwanadamu, alijinyenyekeza, akatii hata mauti: naam, mauti ya msalaba! Kwa hiyo, Mungu alimtukuza juu sana, na kumpa Jina lililo kuu kuliko kila jina, ili kwa Jina la Yesu, kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi, na kila ulimi ukiri kwamba Yesu Kristo ni Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Wafilipi 2:8-11