Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 4:26-27

Marko 4:26-27 NEN

Pia akawaambia, “Ufalme wa Mungu unafanana na mtu apandaye mbegu shambani. Akiisha kuzipanda, usiku na mchana, akiwa amelala au ameamka, mbegu huota na kukua pasipo yeye kujua ikuavyo.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Marko 4:26-27

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha