Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 11:9

Marko 11:9 NENO

Kisha wale waliokuwa wametangulia mbele na wale waliokuwa wakifuata nyuma wakapaza sauti, wakisema, “Hosana!” “Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Bwana!”