Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 16:21

Mathayo 16:21 NENO

Tangu wakati huo, Yesu alianza kuwaeleza wanafunzi wake kwamba hana budi kwenda Yerusalemu na kupata mateso mengi mikononi mwa wazee, viongozi wa makuhani, na walimu wa sheria, na kwamba itampasa auawe, lakini siku ya tatu kufufuliwa.