Malaki 4:1
Malaki 4:1 NENO
“Hakika siku inakuja, itawaka kama tanuru. Wote wenye kiburi na watenda maovu watakuwa mabua makavu, na siku ile inayokuja itawawasha moto,” asema BWANA wa majeshi. “Hakuna mzizi wala tawi litakalosalia kwao.
“Hakika siku inakuja, itawaka kama tanuru. Wote wenye kiburi na watenda maovu watakuwa mabua makavu, na siku ile inayokuja itawawasha moto,” asema BWANA wa majeshi. “Hakuna mzizi wala tawi litakalosalia kwao.