Malaki 2:16
Malaki 2:16 NENO
“Ninachukia kuachana,” asema BWANA, Mungu wa Israeli, “pia nachukia mtu anayejivika jeuri kama vazi,” asema BWANA wa majeshi. Kwa hiyo jihadharini wenyewe katika roho zenu, wala msije mkavunja uaminifu.
“Ninachukia kuachana,” asema BWANA, Mungu wa Israeli, “pia nachukia mtu anayejivika jeuri kama vazi,” asema BWANA wa majeshi. Kwa hiyo jihadharini wenyewe katika roho zenu, wala msije mkavunja uaminifu.