Yeremia 5:14
Yeremia 5:14 NENO
Kwa hiyo hili ndilo asemalo BWANA Mungu wa majeshi: “Kwa sababu watu hawa wamesema maneno haya, nitayafanya maneno yangu vinywani mwenu kuwa moto, na watu hawa wawe kuni zinazoliwa na huo moto.
Kwa hiyo hili ndilo asemalo BWANA Mungu wa majeshi: “Kwa sababu watu hawa wamesema maneno haya, nitayafanya maneno yangu vinywani mwenu kuwa moto, na watu hawa wawe kuni zinazoliwa na huo moto.