Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 5:14

Yeremia 5:14 BHN

Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema hivi: “Kwa kuwa wao wamesema jambo hilo, sasa nitayafanya maneno niliyokupa wewe Yeremia kuwa moto. Watu hawa watakuwa kuni, na moto huo utawateketeza.

Soma Yeremia 5