Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yakobo 3:9-10

Yakobo 3:9-10 NENO

Kwa ulimi tunamhimidi Bwana na Baba yetu, na kwa huo twawalaani watu walioumbwa kwa mfano wa Mungu. Katika kinywa kile kile hutoka baraka na laana. Ndugu zangu, haistahili kuwa hivyo.