Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yakobo 1:23-24

Yakobo 1:23-24 NENO

Kwa maana kama mtu ni msikiaji tu wa Neno wala hatendi kile linachosema, yeye ni kama mtu ajitazamaye uso wake kwenye kioo na baada ya kujiona alivyo, huenda zake na husahau upesi jinsi alivyo.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yakobo 1:23-24