Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Esta 6:6

Esta 6:6 NEN

Hamani alipoingia, mfalme alimuuliza, “Afanyiwe nini mtu ambaye mfalme apenda kumheshimu?” Basi Hamani akawaza moyoni mwake, “Ni nani mwingine ambaye mfalme angemheshimu kuliko mimi?”