Waefeso 5:1-2
Waefeso 5:1-2 NENO
Kwa hiyo, mfuateni Mungu kama watoto wanaopendwa, mkiishi maisha ya upendo, kama vile Al-Masihi alivyotupenda sisi akajitoa kwa ajili yetu kuwa sadaka yenye harufu nzuri na dhabihu kwa Mungu.
Kwa hiyo, mfuateni Mungu kama watoto wanaopendwa, mkiishi maisha ya upendo, kama vile Al-Masihi alivyotupenda sisi akajitoa kwa ajili yetu kuwa sadaka yenye harufu nzuri na dhabihu kwa Mungu.