Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waefeso 4:1-5

Waefeso 4:1-5 NENO

Basi, mimi niliye mfungwa wa Bwana, nawasihi mwenende kama inavyostahili wito wenu mlioitiwa. Kwa unyenyekevu wote na upole, mkiwa wavumilivu, mkichukuliana kwa upendo. Jitahidini kudumisha umoja wa Roho katika kifungo cha amani. Kuna mwili mmoja na Roho mmoja, kama vile mlivyoitwa katika tumaini moja la wito wenu. Tena kuna Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja