Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Wakolosai 2:16-17

Wakolosai 2:16-17 NENO

Basi, mtu asiwahukumu ninyi kuhusu vyakula au vinywaji, au kuhusu kuadhimisha sikukuu za dini, au Sikukuu za Mwezi Mwandamo au siku ya Sabato. Hizi zilikuwa kivuli cha mambo yajayo; lakini uhalisi unapatikana kwa Kristo.