Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 16:27-28

Matendo 16:27-28 NENO

Yule mkuu wa gereza alipoamka na kuona milango ya gereza iko wazi, akachomoa upanga wake akataka kujiua, akidhani ya kuwa wafungwa wote wametoroka. Lakini Paulo akapaza sauti kwa nguvu, akisema, “Usijidhuru kwa maana sisi sote tuko hapa!”

Video ya Matendo 16:27-28