Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Wakorintho 6:1-2

2 Wakorintho 6:1-2 NENO

Kama watendakazi pamoja na Mungu, tunawasihi msipokee neema ya Mungu bure. Kwa maana asema: “Wakati wangu uliokubalika nilikusikia, siku ya wokovu nilikusaidia.” Tazama, wakati uliokubalika ndio huu, siku ya wokovu ndiyo hii.