Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wathesalonike 2:13

1 Wathesalonike 2:13 NEN

Nasi pia tunamshukuru Mungu bila kukoma kwa sababu mlipolipokea neno la Mungu mlilosikia kutoka kwetu, hamkulipokea kama neno la wanadamu, bali mlilipokea kama lilivyo hasa, neno la Mungu, linalotenda kazi ndani yenu ninyi mnaoamini.